Kocha Simba Kawajibu Wanaobeza 4G Kimataifa

Baada ya Simba kushinda kwa magoli 4-0 kwenye mcheO wao wa kwanza wa kimataifa dhidi ya Gendarmerie, mashabiki wa wekundu wa Msimbazi wanasema Simba ilikuwa na uwezo wa kupata ushindi mkubwa zaidi ya walioupata kutokana na udhaifu wa wapinzani wao.

Kocha msaidizi wa Sima Masoud Djuma amesema waliwataka wachezaji wasitumie nguvu kubwa kwenye mchezo mmoja kutokana na kukabiliwa na michezo miwili ya VPL hivi karibuni.

“Nimemsikia mwalimu wao anasema zamani walikuwa wanafungwa hadi magoli tisa au 10, huo ni mpira wa zamani, mpira wa kisasa kitu cha muhimu ni kwamba hatukuruhusu kufungwa goli.”

“Halafu sisi tuna mechi mbili za ligi zimeongozana hapa karibu kwa hiyo ilikuwa lazima tucheze kwa mpangilio kwa sababu ni lazima tushinde zote kwa hiyo hatukutumia nguvu nyingi kwenye mchezo mmoja.”

“Tunashukuru tulipata magoli ya mapema nafas
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad