Madiwani Watatu wa Chadema Wamejiuzulu Nafasi Zao na Kujiunga CCM.

 Madiwani Watatu wa Chadema Wamejiuzulu Nafasi Zao na Kujiunga CCM.
Habari kutoka mkoani Arusha leo February 15, 2018 ni kwamba madiwani watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika wilaya ya Ngorongoro wamejiuzulu nafasi zao na kujiunga na CCM.

Wamedai kuwa uamuzi wao huo wa kukihama chama cha CHADEMA ni wa kumuunga mkono Raisi John Magufuli katika utendaji wake wa kazi.

Madiwani hao ni Daniel Olkery wa kata ya Ngorongoro, Lazaro Saitoti kata ya Ngoile pamoja na Sokoine Moir ambaye ni diwani wa kata ya Alaitole.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad