Natoa Pole kwa Mapacha Walioungana, Consolatha na Maria

Mapacha walioungana, Consolata na Maria bado wanaendelea kutibiwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es salaam.

Pichani, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipofika hospitalini hapo kuwajulia hali na kuwatakia uponyaji wa haraka.

Namuomba Mungu ili Consolata na Maria wakapate kupona na kurejea chuoni kuendelea na masomo yao.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad