Rais wa Fifa Akoshwa na Tanzania "Tanzania ni Nchi ya Soka"

Rais wa Fifa Akoshwa na Tanzania "Tanzania ni Nchi ya Soka"
Rais wa Shirikisho la Soka la duniani (FIFA) Gianni Infantino, akiwa nchini Tanzania kuhudhuria mkutano wa shirikisho hilo nchini.

Mkutano huo ulishirikisha jumla ya mashirikisho 21 ya kandanda ambao ni wanachama wa shirikisho hilo.

Rais wa shirikisho hilo la soka duniani alikutana na Waziri Mkuu wa nchi , Kassim Majaliwa pamoja na Waziri wa Utamaduni na Michezo Harryson Mwakyembe.

Katika mkutano na waandishi wa habari, Bw Infantino amesisitiza kuzungumzia hali ya rushwa katika mpira wa miguu.

"Tumefanikiwa sana katika kuweka uwazi wa matumizi ya fedha za FIFA. Leo FIFA ni shirikisho lenye uwazi. Tunachapisha matumizi ya fedha zote. Kila mtu anaweza kufuatilia fedha zinatoka wapi na fedha zinaenda wapi."

Akizungumzia jitihada za kukuza soka barani Afrika, Bw Infantino ameelezea kuwa siku za nyuma Afrika ilikuwa inapata dola za kimarekani milioni 26 kutoka FIFA, lakini sasa hivi, Afrika inapata dola za kimarekani milioni 100 ili kuiinua mchezo wa soka.

Pamoja na hayo amesema katika kipindi chake amejaribu kuhakikisha ongezeko la timu za Afrika katika kushiriki michuano ya kombe la dunia .

Tangu aingie madarakani ,Rais huyo wa Fifa ameongeza idadi ya timu zitazoshiriki michuano ya kombe la dunia la mwaka 2026 toka 5 mpaka 7.

"Sitaki kuahidi lolote, ninatenda" Infantino ameelezea.

Kenya na Tanzania zashuka pakubwa orodha ya Fifa
Mchezo wa kandanda ya wanaume unafuatiliwa sana na una uwekezaji mkubwa duniani, matokeo ni kwamba mchezo huo kwa upande wa wanawake unaachwa nyuma.

Ajenda kubwa katika mkutano huo ilikuwa kujadili namna ya kukuza soka la wanawake na vijana pamoja na suala la usajili kwa njia ya mtandao.

Gianni amesema wamezungumzia kuanzisha ligi ya kimataifa ya wanawake.

"Tunataka kuzindua michuano mpya ya FIFA, ligi ya kimataifa ya wanawake. Tutaomba nchi zote kushiriki na tutatoa msaada wa fedha "

Mkutano wa Fifa una kauli mbiu ya "kurejesha kandanda kwa Fifa na Fifa kwa kandanda.
Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. The respectable trophy can be exhibited on the essential Dhyan Chand countrywide Stadium as a undertaking XI Million event is being carried out to peer the U-17 world Cup trophy, which will be up for display at India Gate the next day. it'll be open for fanatics to peer the beautiful trophy and take pictures with the silverware.
    FIFA World Cup 2018 Tickets
    Russia 2018 World Cup Opening Ceremony Venues

    ReplyDelete
  2. Positive site, where did u come up with the information on this posting? I'm pleased I discovered it though, ill be checking back soon to find out what additional posts you include. http://www.buyfifacoins.com/?pc_style=1

    ReplyDelete
  3. I like the way you put all the information here. I surely like to think myself as a football fanatic and whenever get share time I spend it online fifa world cup topic, game and news. Anyway, I enjoyed this wonderful topic very much. BTW those who are in love to play fifa game this article https://www.buyfifacoin.net/cms/page?alias=fut-20-kits-the-best-kits-for-fut-20+ can be an interesting part for some moments.

    ReplyDelete
  4. I think FIFA is a great game with lots of potentials. And you mentioned some very good details in this article. I also follow other FIFA news websites because I'm a big fan of FIFA games.

    ReplyDelete
  5. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad