Rais wa Liberia George Weah Amfuta Kazi Waziri wa Sheria

Rais wa Liberia George Weah Amfuta Kazi Waziri wa Sheria
February 9, 2108 Rais mpya wa Liberia Charles Gibson, baada ya malalamiko ambayo yamesababisha kupokonywa leseni ya Uwakili baada ya kumtapeli mteja wake.

Kabla ya uteuzi wake, Gibson alikuwa amepatikana na hatia hiyo na Mahakama ya Juu baada ya kumtapeli mteja wake Dola za Marekani 25,000 na kuagizwa kuzirejesha.
Rais Weah amemteua Musa Dean aliyekuwa Wakili katika Tume ya Uchaguzi kuchukua nafasi hiyo. Mwanasoka huyo wa zamani wa Liberia alichaguliwa kuwa rais mteule ikiwa ni katika jaribio lake la pili.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad