Web

Tenga Apata Shavu Ateuliwa Kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Taifa (TFF)

Top Post Ad

Tenga Apata Shavu  Ateuliwa Kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Taifa (TFF)
Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka la Tanzania(TFF), Leodgar Tenga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa(TFF).

Waziri wa Habari Utamaduni wa Michezo, Harison Mwakyembe amethibitisha hilo kwenye taarifa yake kwa vyombo vya habari leo Ijumaa mchana.

Mwakyembe pia amewateua wajumbe sita wa BMT ambao ni Profesa Mkumbwa Mtambo, Beatrice Singano, Kanali Mstaafu Juma Ikangaa,Joseph Ndumbaro,Rehema Madenge na Salmini Kaniki.

Awali, BMT ilikuwa chini ya Dioniz Malinzi ambae uteuzi wake ulisitishwa na Wizara baada ya kutoridhika na utendaji wake.

Below Post Ad

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.