Yametimia! Safari ya Akwilina Yafika Mwisho Azikwa Kijijini kwa Wazazi Wake

Yametimia! Safari ya Akwilina Yafika Mwisho Azikwa Kijijini kwa Wazazi Wake
Mwili wa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini umezikwa nyumbani kwa wazazi wake kijiji cha Olele wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro.

Akwilina aliyeuawa Februari 16, 2018 amezikwa leo Februari 23, 2018 saa 8:45 mchana na mamia ya waombolezaji baada ya kumalizika kwa ibada ya mazishi iliyofanyika kanisa la Mtakatifu Theresia Parokia ya Olele.

Baada ya uwekaji maua katika kaburi, watu mbalimbali wakiwemo wanafamilia watatoa salamu za rambirambi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad