Zari Aonyesha Jeuri ya Pesa Atumia Zaidi ya Milioni 6 Kwaajili ya Viatu vya Watoto Wake

Zari Aonyesha Jeuri ya Pesa Atumia Zaidi ya Milioni 6 Kwaajili ya Viatu vya Watoto Wake
Zari the boss lady siku kadhaa zilizopita alikuwa Dubai kwaajili ya kusherehekea siku ya kuzaliwa ya rafiki yake  Zowda Mkandila  akiwa katika matembezi Dubai, Zari aliamua kutumia zaidi ya Milioni 6 kwa ajili ya kuwanunulia watoto wake viatu aina ya Balenciaga.

Kiatu aina ya Balenciaga alichonunua Zari kwaajili ya watoto wake kinauzwa Dola 692 za Kimarekani ambapo ni zaidi ya shilingi Milioni  1.5 za Kitanzania kwa pair moja ya kiatu.

Kupitia Snapchat account ya Zari aliandika “Ni kwa ajili yangu na watoto wangu tutavivaa wote vikiwa vyeusi” hiyo ni baada ya Zari kununua viatu hivyo ndio akaamua kuvipost Snapchat.
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad