Zitto Afunguka Kuhusu Mwandishi wa Mwananchi Aliyepotea...Adai Gazeti Litoe Habari Aliyotuma Kabla ya Kupotea

Ameandika haya Kupitia ukurasa wake wa Facebook:

'Siku ya 100 leo mwandishi Azory Gwanda hajulikani alipo. Umefika muda Mwafaka Gazeti la Mwananchi lichapishe Habari ambayo Azory aliituma chumba cha Habari kabla ya kutekwa na kupotezwa.' Zitto Kabwe

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad