Abdul Nondo Apandishwa Mahakamani kwa Makosa Haya.... Arudishwa Rumande Baada ya Kunyimwa Dhamana

Abdul Nondo Apandishwa Mahakamani kwa Makosa Haya.... Arudishwa Rumande Baada ya Kunyimwa Dhamana
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo amesomewa mashtaka mawili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa.

Kwa mujibu wa mtandao wa gazeti la Mwananchi umesema, makosa hayo ambayo Nondo ameshtakiwa ni pamoja na kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni March 7 ya mwaka huu kuwa yupo maisha yake yapo hatarini akiwa katika eneo la Ubungo na kuzisambaza kwenye mtandao wa Whatsapp.

Kosa la pili limetajwa kuwa ni kutoa taarifa za uongo kwa mtumishi wa umma Mafinga wakati alipokuwa akitoa taarifa katika kituo cha polisi mjini humo kwa kusema kuwa alitekwa na watu wasiojulikana.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad