Ajali Nyingine ya Gari la Polisi na Lori


ARUSHA: Askari watatu wa Jeshi la Polisi wamejeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha gari la Polisi na lori usiku wa kuamkia leo, Machi 8 katika barabara ya Tengeru-Arusha

Askari hao wamepata ajali hiyo majira ya saa 9 alfajiri wakati gari la Polisi lilipokuwa likisindikiza gari la Benki Kuu kupeleka fedha mkoni Tanga

Ajali hiyo iliwajeruhi askari waliokuwa katika gari hilo na dereva kuvunjika miguu yote na kuumia vibaya kichwani

Jeshi la Polisi linamsaka dereva wa lori ambaye alikimbia baada ya ajali hiyo
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad