Ajari Nyingine Mbaya Yatokea Kimara

Ajari Nyingine Mbaya Yatokea Kimara
Ajali mbaya imetokea Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam ambapo gari aina aya Toyota Noah namba T.871 BTU iliyokuwa ikitokea Mbezi kuelekea Ubungo na gari aina ya Cami namba T.840 DHE liliyokuwa likitokea Ubungo kuelekea Mbezi, nakupelekea gari hiyo aina ya Noah kupinduka.

Aidha katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad