Albamu ya Diamond Yamuibua Harmorapa ''Albamu Mbaya Kama Sura Yangu''

Albamu ya Diamond Yamuibua Harmorapa ''Albamu Mbaya Kama Sura Yangu''

Msanii wa Rap Bongo,Harmorapa ameibuka na kuiponda Albamu ya Diamond ‘A boy from Tandale’ na kudai ni mbaya kama ilivyo sura yake.



Harmorapa ambaye amejipatia umaarufu kwa kudaiwa kupenda kiki ameiponda Albamu hiyo iliyofanyiwa uzinduzi rasmi nchini Kenya hivi karibuni.

“Bro #chibu nae kelele nyingi za album miez saba mwisho wa siku anatutolea Album mbovu kama sura yangu sokwecha kukushaur simba kama mkataba wako wa karanga umeisha kaa dukani kwa Dada yako #Esma umsaidie kuuza vitenge –




Dunia Kwa sasa inasubili ulbum yangu ya #uThigawePathi na ulubamu ya #kingkiba_for_life,“ ameandika Harmorapa kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad