
Aunty Ezekiel amueleza mwanae kuwa kila watakampo mnenea maneno juu yake yeye hawatakie heri.
“Wewe ndio Roho yang Cookie @cookieprincessiyobo ….Usikae shingo Upande hawa ndio binaadamu Mwanangu wosia wang ww watakie kheri kwa kila watakalo kunenea juu yako Amin …..,” ameandika Aunty kupitia ukurasa wake wa Intagram.