BASATA, Wazifungulia Nyimbo za Diamond Walizokuwa Wamezifungia



Baada ya Diamond na Uongozi wake Kukaa na BASATA pamoja na Waziri wa Sanaa, Hatimaye nyimbo Nyimbo zake Zimefunguliwa Kuchezwa kwenye TV na Radio Nchini Tanzania, Nyimbo hizo ni

1. Hallelujah (uliomshirikisha Morgan Heritage )
2. Waka Waka (uliomshirikisha Rick Ross).

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad