Chid Benz Auza Mjengo wao wa Ilala..Sasa Anaishi Vichochoroni

Bwana wee al-manusula wazichape na Duwe Santana baada ya Enewz kutimba mtaani anapoishi sasa Chid Benz. Kwani tulipofanikiwa kuingia kwenye nyumba anayoishi sasa tulimuuliza mzee mbona huku uchochoroni sana na tunasikia Flet ile ya ilala umeuza??? Unaambiwa palikua hapatoshi hapo...

VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad