Edu Boy Amtolea Maneno Mazito Nay wa Mitego "Hajui Kumridhisha Mwanamke Kwenye Mapenzi Ndomana Nimemchukua Demu Wake"

Edu Boy Amponda Nay wa Mitego  "Hajui Kumridhisha Mwanamke Kwenye Mapenzi Ndomana Nimemchukua Demu Wake"
Msanii wa Hip Hop anayewakilisha Jiji la Mwanza, Edu Boy amefunguka na kujisifu kuwa amempokonya Nay wa Mitego anayedaiwa kwamba ni mpenzi wake Nini kutokana na kushindwa kumridhisha katika masuala mbalimbali.


Edu Boy amebainisha hayo wakati alipokuwa anapiga stori na Big Chawa kwenye kipindi cha Planet Bongo 'PB' kinachorushwa na East Africa Radio kuanzia saa 7:00 mchana hadi 10:00 alasiri Jumamatu hadi Ijumaa.

"Ujue mimi ni mtoto wa kisukuma nakula vizuri, kwa hiyo najua namna ya kumridhisha mwanamke pindi tunapokuwa katika tendo kwa sababu tunanguvu za kutosha. Kumpora mtu mpenzi wake ni jambo la kawaida",amesema Edu Boy. 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad