Hashim Rungwe Apotelewa na Ndugu Zake Wawili


Hashim Rungwe Apotelewa na Ndugu Zake Wawili
Mwenyekiti wa chama CHAUMA Hashim Rungwe ambae pia alikuwa miongoni mwa wagombea wa Urais kwa mwaka 2015 ametangaza kutoonekana kwa ndugu yake anaeitwa Saida Hilal na wao hawajui yuko wapi.

“Kuna binti anaitwa Saida Hilal amepotea haonekani tangu alipoaga kuwa anaenda kazini, alichukuliwa na gari ya kazini na baada akaaga anaenda oysterbay polisi, tangu hapo hajaonekana na wala hapatikani kwa simu yake ya mkononi” -Rungwe

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad