Hashimu Rungwe: Watu wasiojulikana waliokuwa wamemteka binti yangu wamemwachia tarehe 28/03/18

Mwenyekiti wa chama CHAUMA Hashim Rungwe ambae pia alikuwa miongoni mwa wagombea wa Urais kwa mwaka 2015, March 27, 2018 alitangaza kutoonekana kwa ndugu yake anaeitwa Saida Hilal.

Leo March 31, 2018 amewaita waandishi wa habari na kusema tayari amempata Binti yake huyo amabe alikuwa ametekwa na watu wasiojulikana.

“Napenda kuwajulisha kwamba siku ya tarehe 28 jioni kuamkia 29, binti huyu Saida Hilal alionekana na waliomteka walimuacha Sinza, walikuwa wamemfunga kitambaa, nilipopata hizi habari nilimfuatilia”

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad