Je Unasumbuliwa na Uzito wa Mwili na Unahitaji Kupungua Bila Madhara?

Kama ilivyo katika shughuli nyingine za kibinadamu zenye mpangilio maalum, kupunguza uzito uliozidi lazima uende sambamba na do’s na dont’s zake yaani fanywa na siofanywa. Fanywa/do’s

Jitambue na kubali kwamba unaugua unene na ili kujitibu ni lazima kuwa na adabu katika matibabu hayo. Tambua kwamba vyakula vyoote ni vizuri ILA kula vilivyo rafiki na salama kwa zoezi lako la kupunguza uzito. Tambua kiwango cha chakula unachokihitaji na ule kwa usahihi Tambua muda sahihi unaotakiwa kula na ule kwa wakati

MUHIMU(DONT’S/VISIVYOFANYWA)

Unapopunguza uzito ni kuwa unapunguza mafuta na tindikali ya ziada vilivyorundikana mwilini mwako kwahiyo ni lazima kula milo sahihi inayokuepusha kuongeza mafuta zaidi lakini pia kutouongezea mwili vyakula vyenye kuutengenezea asidi au tindikali nyingi. Hivyo ni vyema kuzingatia kiasi cha chakula kwasababu kuwa mnene unamaanisha unanguvu mwili nyingi usizozihitaji zimejirundika mwilini na mwili umezigeuza mafuta ndio hayo manyama uzembe.

Unatakiwa kupangilia ulaji ili uruhusu mwili kusaga kidogo ulichokula, lakini nguvu nyingine (kalori au calories) uzipate kutoka kwenye mafuta yaleee manyama uzembe. Kana utakula kwa kiwango kikubwa, mwili utakitumia hicho ulichokula tu na kama kitakuwa kingi kuliko kinachohitajika, kitageuzwa mafuta na kuongeza manyama uzembe.

Ni lazima kula kwa muda maalum kwa sababu tunakula ili mwili upate nguvu ya kujiendesha baada ya kukisaga chakula hicho. Ikiwa utakula chakula kingi na kutulia au kulala muda mfupi baadae, unajiumiza kwasababu mwili unapo’relax hauhitaji nguvu nyingi kwahiyo utakigeuza chakula hicho mafuta na hapo tunamaanisha tunapata tena nyongeza ya manyama uzembe. KWAHIYO? Tujitahidi kula milo sahihi, kwa wakati sahihi na kiwango sawia.

KWANINI UNAHITAJI BIDHAA ZETU?

Bidhaa zetu zinavirutubishwa vyoote muhimu vinavyozingatia mlo sahihi, muda muafaka na kiwango sawia. Zaidi huwezi kuzilinganisha bidhaa zetu na hizo nyingine za kichina unazozisikia huko mitaani kwasababu:-

Za kwetu hazina kemikali kwahiyo hizi sio “weka mbali na watoto” maana ni salama kwa watu wote katika familia hata wa kundi dhaifu la watoto, wazee, wajawazito na wanaonyonyesha. Zimethibitishwa na zimeruhusiwa kuwa salama na shirika la viwango duniani ISO, zinatambuliwa kuwa zinafaa kwa dini zote na kupewa ubora wa viwango na HALAL, na hapa kwetu vina kibali cha TFDA.

Sio zile zinazoingizwa kimyakimya kwenye mabegi hatimaye zinawaumiza na kuwatia ubovu na madhara ya kudumu ya miili. Bidhaa zetu huingizwa bila kificho na zinalipiwa kodi zote na zina vibali.

Wa Dar es salaam unaweza kufika ofisini Masaki, au ukituma pesa kabla ya saa 8 mchana utaletewa ulipo. Wateja wa mikoani unatuma pesa kabla ya saa kumi unatumiwa mzigo kwenye basi utakayoelekeza wewe, na wa Zanzibar unatumiwa kwenye boti zenye uhakika, wa nje ya Tanzania tunajadiliana juu courier unayoiamini.



Nipo active muda na saa yoyote kukuhudumia, karibu.

Piga au WhatsApp +255783566844

Instagram
@afyayanguutajiriwangu_ayuw

Facebook: Kwambiwa Nelly Machenje


Youtube : afyayanguutajiriwangu
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad