Kama Haupotezi Marafiki Huwezi Kukua – Shetta

Kama Haupotezi Marafiki Huwezi Kukua – Shetta
Msanii wa muziki Bongo, Shetta amefunguka kwa kutoa somo kwa wanaodhania kupoteza rafiki au marafiki basi hawezi kusonga mbele katika maisha.

Hitmaker huyo wa ‘Vumba’ ametoa somo hilo kwa katika mtandao wa kijamii wa Instagram “Kama haupotezi marafiki basi haukubali kukuwa.”

“If You’re Not losing friends… You’re Not growing up….. !! 😎”

Baadhi ya watu katika maisha wamekuwa na rundo la marafiki na wengi wao wamekuwa waoga kupoteza marafiki kwa kuamini kuwa ni jambo baya, hivyo Shetta anatukumbusha kuwa endapo unaihitaji kusonga mbele basi huna budi kukubaliakana na mambo yote ikiwemo kupunguza marafiki wasio na faida.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad