Kituo cha redio cha Times FM kimeomba radhi Wizara ya Habari Kwa Kumuhoji Diamond Platnumz


Kituo cha redio cha Times FM kimeomba radhi Wizara ya Habari, Naibu Waziri Juliana Shonza, TCRA,
BASATA pamoja na umma kutokana na kauli tata zilizotolewa na mwanamuziki Diamond Platnumz katika moja ya mahojiano yake hivi karibuni.

Times FM imesema kuwa, hiyo haikuwa dhamira yao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad