Lemutuz Atoa Mpya " Ukikutana na Mtu Kama Mimi Utaishia kulalamika Kua "Jamaa Mjuaji Sana"


From @lemutuz_superbrand - EXTRA STRAIGHT TALK:- The Art of KUKARIRISHWA ...picha hii ni siku ya kwanza baada ya kurudi Bongo from USA nyumbani kwa my Dad ...Again naomba kuongeza kidogo Maisha yetu ya Kibongo ni madogo sana hayatupi nafasi ya kufikiri sana kwa mapana na the worst ni kama Kijana Mbongo umekulia na kusomea hapa hapa Bongo na hujishugulishi na kusoma hasa kwenye Google seriosly ukikutana na mtu kama mimi utaishia kulalamika kua "JAMAA MJUAJI SANA" WHY? ndio uwezo wako wa kufikiri unapoanzia na kuishia ..baada ya mimi kuishi Miaka 30 Europe na USA na kutembelea almost Dunia nzima unategemeaje akili yangu iwe sawa na yako ambaye hujaenda hata Nairobi na hujui kwamba you are missing some serious things in your life KWA KUTOJIONGEZA HATA KUSOMA SANA GOOGLE? For sure nitakua kama mchawi kwako kwa mfano mimi siwezi kununua anything bila kuhakikisha kua hakuna alternative kabla ya kununua nitatafuta kila mahali kuhakikisha bei unayoniuzia haina alternative ni bei ile ile kila mahali sasa wewe nikikuambia hivyo nitakua tu "NAJIFANYA NAJUA SANA" hahahah ...guys seriously huwa ninapata taabu sana ya kuongea na Vijana na watu wengi hapa mjini kwa sababu akifungua mdomo tu ninaipata clear kua unaongea maneno ya kukaririshwa like a dead brain now cha kuchekesha ni hua nakutana na Wabongo wengi wananiambia "ZAMANI NILIKUA NAKUONA KAMA MJINGA FULANI HIVI SIKU HIZI NAKUKUBALI SANA" guys kama ulishawahi kuniambia haya maneno ujue nilikuona ni Juha namba moja wa Dunia ila sijawahi kukuambia so nakuambia leo kwa sababu hakuna bnadam mwenye akili timamu na kubwazzz anaweza kusema maneno kama hayo unless useme hivi "UNAJUA NILIPOKUONA MIREMBE NILIJUA WEWE KICHAA LAKINI KUMBE HUKUA: that makes a sense lakini hunijui sikujui hujawahi kuongea na mimi hata siku moja now unaniona kwa mbali unaambiwa Jamaa kakaa Majuu 30 years karudi na anaendelea kuishi maisha yake now wewe gutts za kuniambia nilikua nakuona mjinga umezitoa wapi kama sio kuishi kwa kukaririshwa? then ninajiuliza nina marafiki wengi Matajiri na Viongozi wa Taifa kwa nini hakuna hata mmoja aliyewahi kutamka hayo maneno? WHY? ila Masikini wenzangu tu! WHY?..hahaha! - le Mutuz

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad