Liverpool Ikiifunga Manchester Nahama CCM Najiunga na Chama cha Hashim Rungwe– Haji Manara

Liverpool Ikiifunga Manchester Nahama CCM Najiunga na Chama cha  Hashim Rungwe– Haji Manara

Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa ikitokea majogoo wa Uingereza, timu ya Liverpool ikaifunga Manchester United katika mchezo wao wa leo hii wa ligi kuu ya EPL basi ataachana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) nakujiunga na Chama Cha Chauma kinachoongozwa na aliyekuwa mgombea Urais, Hashim Rungwe.



Manara ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram.


Ikitokea Liverpool kuifunga Manchester nahama CCM najiunga na chama cha Hashim Rungwe ..hawatufungi hata kwa bahati mbaya

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad