Majibu ya Kamanda Mambosasa Kuhusu Kutofautiana Kauli na RPC Iringa

Mtandao kumekuwa na Gumzo kuhusu kauli ya Kamanda Mambosasa na RPC wa Iringa kutofautina kuhusu kupatiikana kwa Abdul Nondo Mwanafunzi aliyedaiwa Kutekwa, Kamanda Mambosasa alisema Abdul Nondo alikutwa akiendelea na Shughuli zake, na RPC wa Iringa alisema Nondo alienda kuripoti Kituoni Mwenyewe.

Tazama VIDEO:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad