Mtangazaji Tbway Anusurika Kifo Baada ya Kupata Ajali Mbaya

Mtangazaji Tbway Anusurika Kifo Baada ya Kupata Ajali Mbaya
Taarifa za  hivi punde kuhusiana na mtangazaji wa EATV Tbway ni kuwa amepata ajali akiwa na gari yake usiku huu maeneo ya Makumbusho Kijitonyama.

Tbway amepata ajali na gari yake kuharibika na kwa mujibu wa DJ Choka ambaye alifanikiwa kufika eneo la tukio, amethibitisha kuwa Tbway ametoka salama na anaendelea vizuri.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad