Kupitia Ukurasa wa Instagram @uchebe1 apost Ua Jeusi kuashiria Hakuna Usalama wa Ndoa Yao.. Sambamba na Hilo Kumekuwa na Maneno /Rumors za hapa Na pale Kuwa wameachana... Vyanzo vyetu vinaendelea kuchimba Kuhusu Ndoa Hii... Kama ipo au Ishakufa.
Ndoa ya Shilole na Uchebe Matatani..Uchebe Afuata Nyayo za Zari Kwa Kupost Ua Jiusi
0
March 13, 2018
Kupitia Ukurasa wa Instagram @uchebe1 apost Ua Jeusi kuashiria Hakuna Usalama wa Ndoa Yao.. Sambamba na Hilo Kumekuwa na Maneno /Rumors za hapa Na pale Kuwa wameachana... Vyanzo vyetu vinaendelea kuchimba Kuhusu Ndoa Hii... Kama ipo au Ishakufa.
Tags