Ney wa Mitego Aponea Kwenye Tundu la Sindano Ahaidi Kubadirika

Image result for nay wa mitego

Msanii wa bongo fleva nchini Tanzania Emmanuel Elibariki maarufu kama Ney Wa Mitego leo amenusurika kufungiwa kujihusisha na shughuli za mziki ambapo leo aliitwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mh, Juliana Shonza na kuhojiwa na kukiri makosa na kuahidi kubadilika

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad