Nicole Franklin Afunguka 'Nilimpenda MC Pili Pili Kwa Ushamba Wake Huo Lakini Alinivunja Moyo sana Najuta"

Nimejaribu kumsikiliza huyu dada Nicole Franklin Miss Shinyanga 2014 kuhusu mahusiano yake na MC Pilipili au Emmanuely yalivyovunjika lakini hayaeleweki maana inaonekana huyu dada alimpenda sana MC Pilipili na alikuwa na uhakika naye kimaisha lakini MC Pilipili alipotea na kumkatisha tamaa kabisa huyu dada.

Kweli mapenzi huwafanya wanadamu kubadilika kabisa na kubadili hata mitazamo yao kimaisha.

VIDEO:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad