Rais Magufuli Aongoza Mkutano wa Baraza la Taifa la Biashara

Rais Magufuli Aongoza Mkutano wa Baraza la Taifa la Biashara
Leo March 19, 2018 Moja ya shughuli inayoendelea ikulu ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli Ambae ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara anaongoza Mkutano wa 11 wa baraza hilo.

Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ikulu, Gerson Msigwa kupitia ukurasa wa Twitter amesema kauli mbiu katika mkutano huo ni “Tanzania ya viwanda – ushiriki wa sekta binafsi”.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad