Rais Magufuli Atoa Ujumbe Huu kwa Wanawake


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewapongeza wanawake wote duniani na kuwatakia kheri katika siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa kila ifikapo Machi,8 ya kila mwaka.

Rais Magufuli kuupitia mtandao wa kijamii wa Twitter,ametoa salamu hizo huku akisihi jamii kuwaheshimu wanawake na kuwapa ushirikiano na kutambua juhudi za wanawake katika jamii yetu.


Dr John Magufuli

@MagufuliJP
Nawapongeza wanawake wote kwa kusherehekea siku yenu ya leo na hasa kwa mchango wenu mkubwa mnaoutoa kwa jamii. Daima tutaendelea kuwaheshimu, kuwapa ushirikiano na kutambua juhudi zenu katika kujenga ustawi wa jamii yetu.

Nawapongeza wanawake wote kwa kusherehekea siku yenu ya leo na hasa kwa mchango wenu mkubwa mnaoutoa kwa jamii. Daima tutaendelea kuwaheshimu, kuwapa ushirikiano na kutambua juhudi zenu katika kujenga ustawi wa jamii yetu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad