Rais Mstaafu Jakaya Kikwete atoa mifuko 300 ya sementi Ujenzi wa Zahanati


Rais Mstaafu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia mbunge wa zamani wa Jimbo la Chalinze na Mkewe Mama Salma Kikwete wametoa mchango wa mifuko 300 ya sementi itakayofanikisha ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwakonje na nyumba ya walimu.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad