Rais wa Zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy Ashikiliwa na Polisi

Rais wa Zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy Auiliwa na Polisi
Aliyekuwa Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anazuiliwa na polisi akihojiwa kuhusu tuhuma kwamba alipokea pesa za kufadhili kampeni zake kutoka kwa kiongozi wa zamani wa Libya Kanali Muammar Gaddafi.

Polisi wanachunguza tuhuma hizo kuhusiana na ufadhili wa fedha alizotumia kwenye kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2007.

Msaidizi wake wa zamani Alexandre Djouhri pia alikamatwa jijini London karibuni.

Bw Sarkozy alishindwa katika juhudi zake za kutaka kurejea madarakani mwaka 2012.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad