Shule ya Wasichana Korogwe Yateketea kwa Moto

Shule ya Wasichana Korogwe Yateketea kwa Moto
Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe  iliyoko wilayani Korogwe Mkoa wa Tanga, inaungua moto usiku huu, huku chanzo cha ajali ya moto huo kikiwa hakijajulikana.


Inadaiwa watu kadhaa wamejeruhiwa kutokana na moto huo. Hakuna vifo vilivyoripotiwa ama kuthibitishwa hadi sasa.


Tunaendelea kufuatilia kwa kina, taarifa zaidi tutakuletea baadaye.

Mabweni mawili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia.

Moto huo ulianza majira ya saa 3 usiku, huku wanafunzi wote walikuwa madarasani (preparation) maarufu kama prepo.


Majeruhi takribani 15 wa tukio hilo hiyo walitokana mshtuko wa moyo lakini walikimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Magunga na wanaendelea vizuri.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad