Sijaona Hasara Kufungiwa Bongo Bahati Mbaya- Young D

Sijaona asara Kufungiwa Bongo Bahati Mbaya- Young D
Msanii Young Dee amezungumza baada ya kufungiwa wimbo wake wa Bongo bahati mbaya ambapo ameeleza kuwa hata yeye hajapewa taarifa yoyote kuhusu kufungiwa wimbo huo zaidi ya kuona kwenye mitandao, isitoshe hajui sababu ya kufungiwa kwa wimbo wake na haelewi nini wanataka na nini hawataki.

Amesema hajafikiria kwenda BASATA kuuliza kuhusu hilo na kwasasa hajaona hasara maybe baadae na hawezi kusema moja kwa moja kama haimuumizi sababu wapo wasanii ambao inawaumiza.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad