Sijaona Tatizo Kwenye Wimbo wa Diamond wa Hallelujah

Wadau nimejaribu kuutazama kwa umakini sana wimbo wa Diamond Uitwao Hallelujah, kimsingi sijaona tatizo lililofanya wimbo huo kufungiwa.

Huku ni kutaka kuuwa vipaji vya wanamuziki wetu ambao wanajaribu kufikia level za kimataifa kwa juhudi zao wenyewe, Kwa mimi binafsi ningeipa hongera Basata na Wizara husika wangekuwa mara kwa mara wakikaa na hawa vijana na kuwapa elimu jinsi ya kuweza kufanya ili wafaidike na kazi zao za sanaa badala ya kujenga uadui ambao unaonekana kama ni kutafuta kiki ili waonekane wanafanya kazi..

By Jorome

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huwezi kuliona tatizo, ila wachungaji na mapadre 'weme-kasirishwa' na kitendo cha domo kuimba haleluya ktk nyimbo za kidunia badala ya nyimbo za dini...... upo??

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad