Timu ya Taifa Stars Yapigwa Kipigo cha Mwizi


Timu ya Taifa ya mpira wa miguu(Taifa Stars)? - #regrann (Taifa Stars) imeambulia kipigo cha mabao 4 kwa 1 kutoka kwa timu ya Taifa ya Algeria katika mchezo wa kirafiki

Goli pekee la kufutia machozi la Taifa Stars limefungwa na Simon Msuva anayekipiga katika Klabu ya Difaa El Jadid ya nchini Morocco.

Je, una maoni gani kuhusu mwenendo wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu(Taifa Stars)?
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad