Ukichezea Amani Unachezea Maisha Yako- Rais JPM

Ukichezea Amani Unachezea Maisha Yako- Rais JPM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa mtu akichezea amani ya nchi amechezea maisha yake.

Rais Magufuli leo Machi 15, 2018 wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza sigara cha Philips Moris International mjini Morogoro.

“Ukichezea amani unachezea maisha yako. Unaweza ukadhani wewe uko mbali ukafikiri haitakupata. Isipokupata wewe, itampata hata ndugu yako,” amesema Rais Magufuli.

Hata hivyo Rais amezungumzia mashamba yanayofutwa ameeleza kuwa “Nilishasema mashamba yote yanayofutwa, wapewe wananchi bure, ni mali yao, walidhulumiwa tangu zamani kwa wakubwa fulani fulani kujimilikisha”.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad