VIDEO: Bashe Aibua Mapya! Asema Haogopi Kufa, Kupoteza Ubunge

Mbunge wa Jimbo la Nzega, Hussein Bashe amesema hana hofu na kifo kutokana na uamuzi wake wa kupeleka hoja binafsi bungeni ili kuundwa kwa tume maalumu ya kuchunguza mauaji dhidi ya wananchi, viongozi wa kisiasa ambao pia wamekuwa wakitekwa na kujeruhiwa.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad