Video: Nikikosa Kufanya Mapenzi Mda Mrefu Nachanganyikiwa- Qeen Darleen

Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Queen Darleen ameushangaza umma wa Wakenya baada ya kudai kwamba mtu akikosa kufanya mapenzi kwa muda mrefu anachanganyikiwa kabisa. Muimbaji huyo aliyasema hayo mapema wiki hii akiwa nchini Kenya katika uzinduzi wa albumu ya Diamond ‘A Boy From Tandale’

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad