Video: Siko Vizuri Kiakili, Barua Nimeona Kwenye Mitandao- Abdul Nondo

Video: Siko Vizuri Kiakili, Barua Nimeona Kwenye Mitandao- Abdul  Nondo
Leo March 27, 2018 Mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi Tanzania Abdul Nondo ameongea na waandishi wa habari baada ya kufika Jijini Dar es salaam akiwa natokea mkoani Iringa ambapo alikuwa anakabiliwa na mashtaka katika Mahakama ya Hakimu mkazi Wilaya ya Iringa.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad