Video: Viongozi Chadema Waungana Kula Pasaka Gerezani na Sugu, Mbowe

Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) wamejigawa wengine wataenda mkoani Mbeya kumtembela Sugu gerezani na wengine wataenda Segerea kumtembelea Mwenyekiti wao na viongozi wengine wa Chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mwenyekiti wa Baraza la vijana Chadema (BAVICHA)Taifa, Patric Sosopi amesema kuwa ni haki yao kuwatembelea viongozi hao gerezani.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad