Video ya Utupu Yamponza Eric Omondi ...Wakenya Wataka Ashitakiwe

Image result for Eric Omondi
Mchekeshaji maarufu kutoka nchini Kenya, Eric Omondi amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuachia video ikimuonesha akiongelea kwenye mto akiwa mtupu na watoto wadogo.

Kwenye video hiyo Omondi anaonekana akioga akiwa mtupu huku watoto wadogo ambao kwa muonekano wao ni makadirio ya chini ya miaka 10.


@VictorMochere
WTF!!! Eric Omondi, naked in front of the camera! Wah!

Baada ya kuposti video hiyo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii, alianza kushambuliwa na mashabiki wake na wanaharakati nchini Kenya wakitaka aburuzwe mahakamani kwa kujibu mashtaka ya kuwadhalilisha watoto wengine wakimsapoti kwa kusema kuwa anaenzi tamaduni.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad