Video:Steve Nyerere “Wenye Akili Tupo Wachache, Wajinga Wengi Wanatuchafua”

Video:Steve Nyerere “Wenye Akili Tupo Wachache, Wajinga Wengi Wanatuchafua”
Baada ya Kusambaa Picha inayoonesha waigizaji wakiwa gerezani huku mlangoni kufuli  likiwa limeachwa na ufunguo ukiwa umebaki palepale kitu kilichozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii watu wakijadili Bongo Movie kuwa inazidi kupotea.

Steve Nyerere amesema kuwa hiyo ni kwa sababu wenye akili kama yeye wapo wachache kuliko wajinga walio wengi ambao wamekuwa wakichafua tasnia hiyo ila yeye anaamini kuwa ile ilikuwa behind the scene ila hajui aliyeisambaza ile alikuwa nani.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad