Wastara Aamua Kuwasaidia Wanawake Wenye Maisha Magumu

Wastara Aamua Kuwasaidia Wanawake Wenye Maisha Magumu
Msanii wa Filamu nchini Wastara Juma, amesema kuwa ameamua kujitolea kusaidia wanawake wote wenye maisha magumu wakiwemo wanaoishi katika mazingira hatarishi, waliozalishwa na kutelekezwa na wenye matatizo mbalimbali.

Wastara ambaye ni balozi wa kusaidia wanawake nchini, ameshatembelea nchi mbalimbali ikiwemo Kongo na Burundi, kukusanya taarifa za wanawake wanaoishi kwenye mazingira magumu, amesema yeye kama mwanamke anaguswa na matatizo ya wanawake wenzake hivyo ana kila sababu ya kuwasaidia ili nao waishi katika maisha ya raha kama watu wengine.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad