Witness Afunguka Kuhusu Kutoa Rushwa ya Ngono

Msanii wa muziki Bongo, Witness Kibonge Mwepesi amekiri kuwepo kwa rushwa ya ngono katika muziki.  Rapper huyo anayetamba na ngoma ‘Kwani Shingapi’ amekiambia kipindi cha The Playlist cha Times Fm vitendo hivyo havijaaza leo bali ni kitu ambaho kipo kwa muda mrefu na hadi sasa kinaendelea.  “Nilikutana nazo kipindi hicho, sema inaenda inafika kipindi watu wanaanza kufanya kwa kutilia ugumu ili ujiongeze mwenyewe,” amesema Witness.  “Kwa sasa hivi mtu haniambii direct, anaongea indirect kwa sababu kwangu watu wengi hawataki kupokea pesa na hawatopokea lakini inaonekana kabisa dizani kama kwanini huyo mtoto watu hawamkamui?,” alisisitiza.  Ameongeza kuwa vitendo hivyo haviwezi kuathiri muziki wake ile ufikishwaji wa ngoma zake kwa mashabiki unakuwa mgumu/unakutana na vigingi.  Soma Zaidi; Witness adai ameombwa rushwa ya ngono ili ngoma zake zichezwe  “Hii haiwezi kusaidia industry kwa sababu mimi ni kama dada au mama yako, pata picha dada yako akafanyiwa kitu kwa ajili apewe kitu how did you feel, is not good,” amesema Witness.
Msanii wa muziki Bongo, Witness Kibonge Mwepesi amekiri kuwepo kwa rushwa ya ngono katika muziki.

Rapper huyo anayetamba na ngoma ‘Kwani Shingapi’ amekiambia kipindi cha The Playlist cha Times Fm vitendo hivyo havijaaza leo bali ni kitu ambaho kipo kwa muda mrefu na hadi sasa kinaendelea.

“Nilikutana nazo kipindi hicho, sema inaenda inafika kipindi watu wanaanza kufanya kwa kutilia ugumu ili ujiongeze mwenyewe,” amesema Witness.

“Kwa sasa hivi mtu haniambii direct, anaongea indirect kwa sababu kwangu watu wengi hawataki kupokea pesa na hawatopokea lakini inaonekana kabisa dizani kama kwanini huyo mtoto watu hawamkamui?,” alisisitiza.

Ameongeza kuwa vitendo hivyo haviwezi kuathiri muziki wake ile ufikishwaji wa ngoma zake kwa mashabiki unakuwa mgumu/unakutana na vigingi.

Soma Zaidi; Witness adai ameombwa rushwa ya ngono ili ngoma zake zichezwe

“Hii haiwezi kusaidia industry kwa sababu mimi ni kama dada au mama yako, pata picha dada yako akafanyiwa kitu kwa ajili apewe kitu how did you feel, is not good,” amesema Witness.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad