Yanga Yaangukia Pua Gaborone Botswana..

Mbingwa wa Tanzania Club ya Dar es Salaam Young Africans jana March 17 2018 wamecheza game yao ya marudiano ya Club Bingwa Afrika ya kuwania kufuzu hatua ya Makundi ya michuano hiyo dhidi ya wenyeji wao Township Rollers.

Yanga walisafiri kwend Gaborone Botswana wakiwa nyuma kwa magoli 2-1 baada ya mchezo wa kwanza nyumbani kupoteza, hivyo waliingia Botswana wakihitaji ushindi wa kuanzia magoli 2-0 na kuendelea ili waweze kufuzu.

Bahati mbaya mambo yamekuwa magumu mjini Gaborone baada ya Township Rollers kuweka ulinzi wa kutosha na kutoruhusu goli, kitu ambacho kimefanya mchezo umalizike kwa sare tasa (0-0), hivyo Township Rollers inakuwa club ya kwanza Botswana kufuzu hatua ya Makundi ya michuano ya club Bingwa Afrika kwa mara ya kwanza katika historia
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad