Ali Choki aikacha Twanga Pepeta na kujiunga na The Mafik Band (Video)

Msanii wa muziki wa dansi, Ali Choki amefunguka kwa kusema kwamba kwasasa ameachana na bendi ya Twanga Pepeta na kujiunga na bendi mpya ya The Mafik Band ambayo inasimamiwa na msanii wa muziki, Shetta. Muimbaji huyo mkongwe amedai hawezi tena kurudi katika bendi hiyo ya zamani kwa kuwa haina mvuto kama zamani.

VIDEO:


SOMA PIA: Government Job Opportunities, Application Deadline 11 April 2018
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad