Ali Kiba Agoma Katu Katu Kumwalika Diamond Kwenye Harusi yake Inayofanyika Dar Leo


Licha ya habari kusema kuwa Diamond yupo tayari kuhudhuria sherehe ya harusi ya Alikiba Jioni Ya leo hii, lakini upande wa Diamond umesema hajaalikwa. Chanzo kilicho karibu na Alikiba kimeiambia GPL ....
.
“Kiba anaonekana bado hayuko poa na Diamond, kamfanyia mwenzake jambo la kushangaza sana maana huwezi amini hadi dakika hii hajamualika kwenye sherehe yake ya harusi, yaani inaonekana Kiba hayuko tayari kushirikiana na mwenzake maana mara nyingi amekuwa akijishusha lakini hampi ushirikiano,” .
.
Nae Aidan Seif ambaye ni meneja wa Alikiba alipoulizwa na GPL kuhusu issue hiyo amesema
.
“Hadi sasa hatujamualika na kwa kweli sijajua kama tutamualika,” .
.
Hata hivyo mastaa tofauti nchini wamealikwa. Tusubiri na tuone.


TOA MAONI YAKO HAPA TAFADHALI

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad