Alikiba Akaribishwa Rasmi Katika Umiliki wa Kinywaji cha Mofaya

Alikiba Akaribishwa Rasmi Katika Umiliki wa Kinywaji cha Mafaya
Siku ya April 29, 2018 msanii Alikiba alitambulisha kinywaji kipya ambacho ni energy Drink walichokipa jina la Mofaya Energy Drink katika sherehe ya harusi yake na mdogo wake Abdukiba katika ukumbi wa Serena Hotel iliyopo Jijini Dar Es Salaam.

Sasa baada ya Alikiba kukitambulisha kinywaji hicho, leo April 30, 2018 kupitia ukurasa wa Instagram wa kinywaji hicho cha Mofaya energy Drink wamepost picha ikimuonesha Alikiba akikaribishwa rasmi katika umiliki wa kinywaji hicho huku wakiambatanisha na ujumbe huu..

..>>>“We welcome our new boss to the winning team @officialalikiba . Welcome sir we are honored to have you on board. We welcome our new owner Mr @officialalikiba who joins us as a new shareholder and will be heading the East African team.” – Mofaya
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad